Pages

Friday, February 1, 2013

HUU NI MUONEKANO WA MJI WA KIGOMA NA ZIWA TANGANYIKA.

 Huu ndiyo muonekano wa Mji wa Kigoma sambamba na Ziwa Tanganyika, na Ghorofa linaloonekana ni la Shirika la Nyumba ambalo linataraji kuzinduliwa rasmi hivi karibuni na Rais Jakaya Mrisho Kikwete.
Picha zifuatazo zinaonesha baadhi ya Taswira za Wilaya mpya ya BUHIGWE, Mkoani Kigoma kama zinavyoonekana hapa chini.