Pages

Tuesday, August 2, 2016

YANGA NAO KUFANYA MKUTANO NA KUCHEZA MECHI YA KUJIPIMA

Baada ya watani wao kufanya mkutano wa mabadiliko nao Young African Sports Club wameitisha mkutano mkubwa tarehe 06 mwezi wa nane. Pamoja na mkutano huo itapigwa mechi kubwa ya kujipima nguvu kati ya Yanga na Mtibwa sugar kutoka turiani manungu Morogoro.

Chini ni taarifa ya mkutano huo.