Kevin McGill
Mwendesha
lori la kuzoa taka kwenye majumba ya watu mji wa Sandy Spring jimbo la
Georgia nchini Kevin McGill Marekani anatakiwa kwenda jela wikiendi 14 kwa kisa ni
kuwahi kuchukua taka mida ya saa 11 asubuhi badala ya saa 1 asubuhi.na
kuwapigia watu kelele wakiwa wamelala.
Kervin McGill
yeye mwenyewe alibaki mdomo wazi baada ya kusomewa mashitaka kwamba
anapochukua taka saa 11 asubuhi anawapigia kelele waliolala na inakua
usumbufu kwa
wengine na
majirani hao walijaribu kuifungulia kampuni yake Kervin McGill lakini
wao walisema sisi hatuondeshi hilo lori, na ikabidi kibao kimgeukie yeye
na kuhukumiwa kwenda jela wikiendi 14.
Kesi
hiyo imewashtua watu wengi na kuwa gumzo kwenye vyombo vya
habari huku wengi wao wakiwa wamepigwa na butwaa kwa mtu kwenda jela
kwa sababu ya kuwahi kufanya kazi yake.
Mtu kama huyu alistahili kupata
onyo sio kwenda jela. Hakimu alimwambia Kervin McGrill kuanzia sasa
anatakiwa achukue taka saa 1 asaubuhi na saa 1 usiku tu na si vinginevyo.