Pages

Sunday, February 22, 2015

ARSENAL YAICHAPA CRISTAL PALACE UGENINI

 Wachezaji wa Arsenal wakishangilia bao la kwanza lililofungwa katika dakika ya 8 na Sant Carzola
 Sant Carzola akishangilia baada ya kuipatia timu yake bao la kwanza likiwa ni bao lake la 7 katika msimu huu.
Straiker Force Giroud akiwatoka walinzi wa Cristal Palace na kufunga bao la pili na la ushindi kwa Arsenal lakini likiwa ni bao lake la 5 katika michezo saba aliyocheza.
Hapa Beki na kipa wa Cristal Palace wakiokoa michomo ya Monreal na Kosienly wa Arsenal