Pages

Tuesday, December 9, 2014

DANNY MRWANDA ASAINI YANGA KWA MKATABA WA MWAKA MMOJA

Mchezaji Danny Mrwanda amesaini kuitumikia klabu ya Yanga kwa mkataba wa mwaka mmoja. Mkataba huo umesainiwa jana usiku.
Danny Mrwanda akiweka saini katika mkataba