Pages

Friday, September 5, 2014

KOCHA WA TAIFA STARS ATANGAZA WATAKAOENDA BURUNDI

Kocha wa timu ya Taifa Stars, Mart Nooij akitangaza majina ya
wachezaji mbele ya wanahabari (hawapo pichani).
Kushoto ni kocha Mrt Nooij, Meneja wa timu Boniphace Clement
pamoja na Dk Emile Richard wakiwa kwenye mkutano na wanahabari.