Pages

Friday, September 5, 2014

KINANA ATOA POLE MTAMBANI

Katibu Mkuu wa CCM ndugu Abdulrahaman Kinana  ametembelea msikiti wa mtambani na kutoa pole kwa janga la moto lililotokea na kusababisha shule ya mivumoni kuungua. Mtambani kwasasa wanaomba msaada kwa ajili ya kujenga/kukarabati upya shule hiyo. Pichani ni mh Kinana na baadhi ya viongozi wakiislam Tanzania.