Pages

Tuesday, August 26, 2014

UFARANSA YAVUNJA SERIKALI YAKE

Rais wa Ufaransa Francois Hollande akitoa hotuba huko katika jumba la Elysee

Rais wa Ufaransa Francois Hollande amevunja serikali yake. Waziri Mkuu Manuel Valls amewasilisha hati za kujiuzulu kwa serikali yake ya kisoshalisti Jumatatu na Bw. Hollande amekubali na kumwamuru waziri mkuu huyo kuunda serikali mpya ifikapo Jumanne.