Pages

Tuesday, August 19, 2014

KIBAKA ALIETOROKA POLISI AKAMATWA NA WANANCHI


Mwizi aliyetoroka kituo cha akiwa chini ya ulinzi wa raia wenye hasira kali maeneo ya vingunguti msimbazi
.

Raia wakipanga kumchoma moto kibaka huyo.Kibaka aliyetoroka kituo cha polisi Tabata hatimaye kukukamatwa majira ya saa tano asubuhi maeneo ya msimbazi vingunguti na kurudishwa kituoni