Omar Katanga
Katanga
Aliyekuwa
 mtangazaji wa Radio One,OMARY KATANGA (mlinda mlango no.1) hatimaye leo
 amejiunga na kituo kipya cha radio(E.FM) kinachorusha matangazo yake 
toka mikocheni Jijini 
Dar es salaam.
Katanga ametangaza  kupitia  katika ukurasa wake wa facebook  kuwa  amejiunga  na  E - fm.
Bila shaka wapenzi wa kipindi hicho watahama na watangazaji hao maana kipindi ndiyo kama kimevunjwa kabisa kwa kuwachukuwa waendeshaji wake maarufu ambao wamejizolea sifa hapa nchini.
"WAUNGWANA: WENGI
 MMEKUWA MKINIULIZA MBONA HAMNISIKII KWENYE KIPINDI CHA SPOTI 
LEO-NICHUKUE FURSA HII KUWAJULISHA KWAMBA HAMTANISIKIA TENA RADIO ONE 
KUANZIA IJUMAA ILIYOPITA AGOSTI 15,2014.
 
KWA UWEZO WA MUNGU MTANISIKIA TENA.......POLENI KWA USUMBUFU LKN....ASANTENI KWA USHIRIKIANO WENU."
KWA UWEZO WA MUNGU MTANISIKIA TENA.......POLENI KWA USUMBUFU LKN....ASANTENI KWA USHIRIKIANO WENU."
Hayo ni maneno aliyo andika Omar Katanga kwenye ukurasa wake wa face book. 

