kitongoni
Pages
(Move to ...)
Home
CONTACT US
▼
Saturday, July 12, 2014
AJALI ENEO LA UBUNGO MATAA MUDA HUU
Gari la mchanga lililokuwa likitokea maeneo ya kimara limemshinda dereva wakati wa kukata kona kutoka barabara ya Morogoro kuingia barabara ya Mandela hapa eneo la Ubungo. Hakuna mtu aliye fariki bali ni majeraha machache kwa dereva.
‹
›
Home
View web version