Pages

Sunday, June 1, 2014

OFFICIALLY: KOCHA MKUU WA YANGA NI MAXIO MAXIMO.

Mwenyekiti wa Yanga Bwana Yusuf Manji ameuthibitishia mkutano mkuu wa mabadiliko ya katiba wa Yanga kuwa kocha mkuu wa Yanga kwa sasa ni Mbrazili Maxio Maximo.
Maxio Maximo