Pages

Saturday, June 14, 2014

NYUMBA YA BALOZI WA MSUMBIJI TANZANIA YAUNGUA

Habari zilizotufikia ni kwamba nyumba ya balozi wa Msumbiji iliyoko maeneno ya Masaki imewaka moto. Habari zinaendelea kutupasha kwamba fire walifika lakini maji yalikuwa kidogo.