kitongoni
Pages
(Move to ...)
Home
CONTACT US
▼
Saturday, June 14, 2014
NYUMBA YA BALOZI WA MSUMBIJI TANZANIA YAUNGUA
Habari zilizotufikia ni kwamba nyumba ya balozi wa Msumbiji iliyoko maeneno ya Masaki imewaka moto. Habari zinaendelea kutupasha kwamba fire walifika lakini maji yalikuwa kidogo.
‹
›
Home
View web version