Pages

Tuesday, June 10, 2014

KIJANA AJIUA KWA RISASI ARUSHA

Kijana maarufu kwa utajiri na anaejulikana kama pesa chafu mkoani Arusha amejiua kwa kujipiga risasi ya kichwa. Polisi wanafanya uchunguzi kujua chanzo cha yeye kujiua.