Pages

Saturday, June 14, 2014

BOMU LAUA MTU MMOJA KWENYE DAURA ZANZIBAR

Hii ni picha ya mtu anaesadikiwa kufa baada ya kitu kinachosadikiwa kuwa bomu kurushwa zanzibar.eneo la darajani kulikokuwa kunafanyika daura ya masheikh wa Afrika mashariki. Inasemekana huyu aliekufa ni mwanafunzi wa sheikh Quasim Mafuta Qaasim wa tanga na sheikh mwenyewe kaumia mkono na mguu kulikuwa na sheikh mwingine kutoka kenya ambae hakupata madhara yoyote. Tunamtakia apone mapema. Na marehemu Allah amuhifadhi.
Inna lilayh wa inna ilayhi rajiuun