Pages

Tuesday, May 20, 2014

BALOZI AFA AKIWA NA KIMADA

Balozi wa Togo nchini Nigeria amefariki akiwa na kimada. Balozi huyo inasemekana walikuwa wametoka klabu ya usiku na binti huyo na bahati mbaya ndio wakadumbukia baharini na mauti yakawafika.
Wapasha habari wanasema walikuta wawili hao wakiwa wamesema ndani ya maji