Pages

Monday, April 14, 2014

PICHA:BARABARA YA MAGARI YAENDAYO KASI YAHARIBIKA KABLA YA KUANZA KUTUMIKA

Watu wengi wakiwa wametafsiri kuwa ni ujengwaji wa chini ya kiwango wa baadhi ya sehemu za barabara za mabasi yaendayo kasi baada ya kuona sehemu hii ambayo imeharibika kabla ya kutumiwa.
Picha chini ni sehemu ya barabara hiyo iliyo haribika.