![Picture](http://www.wavuti.com/uploads/3/0/7/6/3076464/4889076.jpg?652)
Mwili
wa Marehemu Yusta Mkali ukiwa tayari kwa kuagwa Hospital ya
Mwananyamala jijini Dar es Salaam,na kuanza kwa safari ya mazishi
yatakayofanyika kijiji cha Nzasa Wilaya ya Mpwapwa Mkoani Dodoma.
![](http://www.wavuti.com/uploads/3/0/7/6/3076464/3350967.jpg)
Baadhi ya wafanyakazi aliokuwa akifanya nao kazi wakitoa heshima za mwisho
![](http://www.wavuti.com/uploads/3/0/7/6/3076464/6220087.jpg)
Jeneza
lililobeba Mwili wa Marehemu Yusta Mkali likifunikwa na kupandishwa
kwenye gari tayari kwa kuanza safari ya kwenda mkoani Dodoma kwa mazishi
yatakayofanyika hapo kesho.
![](http://www.wavuti.com/uploads/3/0/7/6/3076464/257933.jpg)
![](http://www.wavuti.com/uploads/3/0/7/6/3076464/4035689.jpg)
Mtuhumiwa
Musa Senkando ambaye bado anatafutwa na Polisi kwa mahojiano wananchi
tunaomba msaada wenu kwani huyu mtu ni hatari sana katika jamii yetu.