Pages

Tuesday, December 31, 2013

BASI LA BM LAGONGA WATEMBEA KWA MIGUU NA KUUWA SITA PALEPALE

Habari tulizo zipata muda huu zinasema basi la BM likitokea Dar es salaam kuelekea Arusha limegonga watembea kwa miguu na watu sita wamefariki hapohapo.

Ajali hiyo imetokea maeneo ya Boma la ng'ombe moshi na chanzo cha ajali hiyo ni dereva wa basi hilo alipokuwa akimkwepa dereva wa pikipiki.