Wakazi wa Kijiji cha Ndungu Wilayani 
Same,wakiangalia Greda likiendelea na kazi ya kusawazisha njia mara 
baada ya kumomonyoka kwa udongo katika eneo linalojengwa Daraja na 
kupelekea magari kushindwa kupita kwa muda.
hali hiyo imekuja kutokana na
 mvua kubwa inayoendelea kunyesha Wilayani humo. Zoezi hili lilichukua 
takribani saa moja na nusu na kufanikiwa kupita kwa magari yaliyokuwa 
yamekwama kupisha zoezi hilo.
CHANZO:http://tinyurl.com/p6no74v



