Pages

Wednesday, October 2, 2013

TAZAMA JINSI MVUA ILIVYO HARIBU MIUNDO MBINU SAME

Wakazi wa Kijiji cha Ndungu Wilayani Same,wakiangalia Greda likiendelea na kazi ya kusawazisha njia mara baada ya kumomonyoka kwa udongo katika eneo linalojengwa Daraja na kupelekea magari kushindwa kupita kwa muda.
hali hiyo imekuja kutokana na mvua kubwa inayoendelea kunyesha Wilayani humo. Zoezi hili lilichukua takribani saa moja na nusu na kufanikiwa kupita kwa magari yaliyokuwa yamekwama kupisha zoezi hilo.
CHANZO:http://tinyurl.com/p6no74v