
Basi la abiria aina ya coaster lenye namba za usajili  T378ADR likiobnekana muda mchache baada ya kupata ajali.

 Basi la abiria aina ya coaster lenye namba za usajili  T378ADR  likiwa limeharibika vibaya mara baada ya kupata ajali hiyo

Kiatu cha Abiria kikiwa kimebaki baada ya ajali hiyo 

 Wakazi mbalimbali wa mpakani mwa Mbozi na Songwe wakishuhudia Ajali hiyo 

 Hapa Basi la abiria aina ya coaster lenye namba za usajili  T378ADR baada ya kupata ajali 

 Baadhi ya watu wakiangalia kama kutakuwa na watu wamebakia katika ajali hiyo 


 Usukani wa Dereva ukiwa umetoka mara baada ya ajali hiyo 

 Basi la abiria aina ya coaster lenye namba za usajili  T378ADR  linavyo onekana kwa mbele 


 Hivi ndivyo Basi la abiria aina ya coaster lenye namba za usajili  T378ADR lilivyo haribika 

 Wananchi Mbalimbali wakiwa wanashuhudia ajali hiyo na kutoa msaada 

CHANZO: MBEYA YETU BLOG