Basi la klabu ya Yanga likiwa linaingia katika uwanja wa sokoine
mjini Mbeya limeshambuliwa na mashabiki wanaodhaniwa kuwa wa Mbeya City
kwa kupigwa mawe, kitu kilichopelekea vioo vya gari hilo kupasuka.
Katika tukio hilo dereva wa basi la Yanga aliumizwa
Mechi iliisha kwa timu hizo kutoka suluhu ya Moja kwa Moja
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEg6f5Q7lWFcQi8SnBnxufjhqC7Xu66dTE5fFOxbGkvDyIhij38Spt95JG-Zn99_aRI3kuhY7Zuw2LlgXuO6t2qqgK_YtkVJ6qmovYTHOAlEz904yi5zkF8X5EVDeFNpLBjKhKmjEtta7LZU/s280/11.jpg) |
Wachezaji wa Yanga wakimzonga refa baada ya kukataa bao lao |
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhOvPzTN6DgqVMz4VHeCbrd7zGtCDEiRMOlVAXglmb3V2kZGTaVpWX8mRHFHergiXfQMpkM_COSdA0Ys-3VQtvoIxyJYJHaVtx6xy5yphNIP8S9SQrd6SH-jp1hQlAsdOqAdUVI6YTMFJRD/s280/12.jpg) |
Wachezaji wa Yanga wakimuambia refa amuangalia mshika kibendera kakubali bao
Basi la Yanga likiwa chini ya uangalizi wa Polisi Uwanja wa Sokoine lisishambuliwe zaidi
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiryrPWD2o3NKf5DHqVoirN5ycWEjt1x8mHjhcvf7TemxDdUU0zwmP7VFJcUaZ-CwUNDWTdosQ-CqHplVPMWjtDtv06RPY2SCAs3OwrMeED8br7YysVCA390bf1v0jlb8z4XqgF1x_v5zXz/s280/b5.jpg) |
Yanafaa kula? Mayai yaliyoandikwa Kiarabu yaliyotolewa uwanjani kabla ya mchezo kuanza |
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjFhYauGFVL-AeAHVIycjLsOA_jx-uNFURgexnsm9atq8aIhlBnby4MueLXQoX9LCCPWIAZCPbWwHyCOw2jG08S-fqZYlAZ4nD4uZBIAO3nnVgEQ3bWHYsqu1DuvG4RnKwOvgQEU9YSqV7F/s280/b6.jpg) |
Bendera ya Mbeya City na maandishi wa Kiarabu |
|