Pages

Sunday, September 15, 2013

YALIYOJIRI KATI YA YANGA NA MBEYA CITY

Basi la klabu ya Yanga likiwa linaingia katika uwanja wa sokoine mjini Mbeya limeshambuliwa na mashabiki wanaodhaniwa kuwa wa Mbeya City kwa kupigwa mawe, kitu kilichopelekea vioo vya gari hilo kupasuka.

Katika tukio hilo dereva wa basi la Yanga aliumizwa

Mechi iliisha kwa timu hizo kutoka suluhu ya Moja kwa Moja


 
 
 
Wachezaji wa Yanga wakimzonga refa baada ya kukataa bao lao

Wachezaji wa Yanga wakimuambia refa amuangalia mshika kibendera kakubali bao Basi la Yanga likiwa chini ya uangalizi wa Polisi Uwanja wa Sokoine lisishambuliwe zaidi
Yanafaa kula? Mayai yaliyoandikwa Kiarabu yaliyotolewa uwanjani kabla ya mchezo kuanza

Bendera ya Mbeya City na maandishi wa Kiarabu