Pages

Tuesday, September 17, 2013

WAMALAWI WAFURIKA OFISI ZA UHAMIAJI DAR KWA AJILI YA KUJIORODHESHA KUPATA UHALALI WA KUISHI TANZANIA

Raia wa Malawi wakiwa katika foleni ya kuingia kujiandikisha katika Idara ya Uhamiaji, Mkoa wa Dar es Salaam jana kuhusu zoezi linaloendelea la kuwatambua wahamiaji haramu Jijini Dar es Salaam. Mamia ya wakazi hao walimiminia katika ofisi hizo kujiorodhesha ikiwa ni agizo la Rais Jakaya Kikwete.


Ofisa wa Uhamiaji akiwaelekeza jambo Raia wa Malawi.