Pages

Friday, September 27, 2013

PICHA YA UJENZI WA DARAJA LA KIGAMBONI ULIPO FIKIA SASA

Mafundi wa kampuni ya MBEC ya China wakiendelea kusuka nondo za daraja litakalo unganisha kigamboni na jiji la Dar es salaam kwa upande wa kurasini. Daraja hilo linajengwa kwenye bahari ya hindi na litakamilika mwaka 2015.

CHANZO: MWANANCHI