David Beckham na watoto wake Cruz, Romeo na Brooklyn wakiangalia Arsenal wakitoa kipondo
|
Olivier Giroud akishangilia baada ya kutupia goli la kwanza dakika ya 22 |
Wojciech Szczesny akishangilia goli |
Olivier Giloud akifunga goli mbele ya walinzi wa Tottenham |
Santi Cazorla akimtoka Paulinho |
Kocha wa Tottenham Andre Villas-Boas akitoa maelekezo kwa wachezaji wake |
Etienne Capoue akitolewa nje baada ya kuumia kifundo cha mguu. Mechi hiyo iliisha kwa Tottenham kufungwa goli moja na Arsenal |
BAO pekee la Daniel Sturridge limeipa
Liverpool ushindi wa tatu mfululizo katika Ligi Kuu ya England, baada ya
kuwalaza wapinzani wao wa jadi, Manchester United 1-0 jioni hii Uwanja
wa Anfield.
Mshambuliaji huyo mwenye umri wa miaka
24 alikuwa katika sehemu mwafaka na kwa wakati mwafaka wakati
anaunganishia nyavuni mpira wa kona dakika ya nne.
Hilo lilikuwa bao la tatu kwa Sturridge
katika msimu huu na linaipa ushindi wa tatu mfululizo wa 1-0 timu ya
Brendan Rodgers kuendeleza redeki ya ushindi asilimia 100 katika mbio za
ubingwa.
Philippe Coutinho wa Liverpool alikuwa mchezaji bora wa mechi hiyo.
Kikosi cha Liverpool kilikuwa: Mignolet;
Johnson/Wisdom dk78, Agger, Skrtel, Enrique, Henderson, Lucas, Gerrard,
Aspas/Sterling dk60, Sturridge na Coutinho/Alberto dk84.
Man United: De Gea, Jones/Valencia dk37,
Ferdinand, Vidic, Evra, Carrick, Cleverley/Young/Nani dk62, Welbeck,
Giggs/Hernandez dk75 na Van Persie.
![Liverpool's Daniel Sturridge](http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2013/09/01/article-2407099-1B90C6CA000005DC-150_634x474.jpg)
Tatu: Liverpool imepata ushindi wa tatu mfululizo katika Ligi Kuu ya England, baada ya kuifunga Manchester United 1-0 Anfield
![Flying start: Daniel Sturridge gave Liverpool the lead with a header in the fourth minute](http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2013/09/01/article-2407099-1B90C5F5000005DC-385_634x468.jpg)
Ameanza na moto: Daniel Sturridge ameipa Liverpool ushindi kwa bao pekee dakika ya nne
![Right place: Sturridge flicked home Daniel Agger's header from two yards](http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2013/09/01/article-2407099-1B90BCF6000005DC-285_634x403.jpg)
Sehemu mwafaka: Sturridge akiunanisha pasi ya Daniel Agger
![On form: Sturridge has scored in all four of Liverpool's matches this season](http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2013/09/01/article-2407099-1B90CFBA000005DC-754_634x412.jpg)
Yuko moto: Sturridge ameifungia Liverpool katika mechi zote tatu msimu huu
![Embrace: Sturridge hugs manager Brendan Rodgers after giving Liverpool the lead](http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2013/09/01/article-2407099-1B90D782000005DC-568_634x499.jpg)
Shangwe: Sturridge akimkumbatia kocha wake Brendan Rodgers baada ya kufunga![Stunning: Liverpool fans at the Kop End made a stunning mosaic in honour of Bill Shankly before kick-off](http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2013/09/01/article-2407099-1B90B11F000005DC-785_634x350.jpg)
![Stunning: Liverpool fans at the Kop End made a stunning mosaic in honour of Bill Shankly before kick-off](http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2013/09/01/article-2407099-1B90B11F000005DC-785_634x350.jpg)
Imependeza: Mashabiki wa Liverpool katika Kop End wakitoa heshima kwa Bill Shankly kabla ya mechi
![Birthday: Players and fans took part in a minute's applause for Shankly a day before he would have turned 100](http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2013/09/01/article-2407099-1B90B12F000005DC-149_634x423.jpg)
Kuzaliwa: Wachezaji na mashabiki walitumia dakika moja kwa ajili ya Shankly kabla ya mechi
![Fiesty: Steven Gerrard and Robin van Persie share their thoughts with each other](http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2013/09/01/article-2407099-1B90DF7F000005DC-637_634x522.jpg)
Mkwara: Steven Gerrard na Robin van Persie wakichimbiana mikwara
![Physical: Martin Skrtel, who replaced the injured Kolo Toure, rises high to win a header](http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2013/09/01/article-2407099-1B90DC38000005DC-703_634x417.jpg)
Kazi: Martin Skrtel, aliyechukua nafasi ya majeruhi Kolo Toure, akiruka juu kupiga mpira kichwa
![Effort: Gerrard attempts a shot on goal from a free-kick, which was saved by David de Gea](http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2013/09/01/article-2407099-1B90DCD5000005DC-253_634x446.jpg)
Jatibio: Gerrard akipiga shuti la mpira wa adhabu ambalo liliokolewa na kipa David de Gea
![Fall: Danny Welbeck takes a tumble after pressure from Lucas and Iago Aspas](http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2013/09/01/article-2407099-1B90E933000005DC-683_634x423.jpg)
Rafu: Danny Welbeck akienda chini baada ya kuchezewa rafu na Lucas na Iago Aspas
![Spectator: England manager Roy Hodgson was in the stands for the clash at Anfield](http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2013/09/01/article-2407099-1B90C944000005DC-366_634x426.jpg)
Alikuwepo: Kocha wa England, Roy Hodgson alikuwapo jukwaani Anfield kushuhudia mechi hiyo
![Sidelined: Liverpool's suspended striker watches the action at Anfield on Sunday](http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2013/09/01/article-2407099-1B90BEA7000005DC-256_634x483.jpg)
Jukwaani: Mshambuliaji wa Liverpool, Luis Suarez anayetumikia adhabu alikuwepo uwanjani leo
![In the dugout: Liverpool manager Rodgers (right) and Manchester United boss David Moyes](http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2013/09/01/article-2407099-1B90C0A3000005DC-128_634x388.jpg)
Makocha: Kocha wa Liverpool, Rodgers (kulia) na wa Manchester United, David Moyes wakiwa kazin