Televisheni
 ya Azam inayojulikana kama Azam TV imeingia mkataba wa miaka mitatu wa 
kuonesha michuano ya Ligi Kuu Tanzania Bara na Shirikisho la Mpira wa 
Miguu Tanzania (TFF) ambapo mkataba huo umetajwa kuwa na thamani ya Tsh 
bilioni 6.5
Aidha
 Televisheni hiyo itakuwa na majukumu ya kuonesha mechi za moja kwa moja
 (LIVE) zisizopungua 60 za Ligi hiyo huku nyingine 180 zikiwa 
zimerekodiwa.