 |
Mkurugenzi wa Usalama wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo(Chadema) Wilfred Lwakatare
|
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam imekubali
kumwachia Mkurugenzi wa Usalama wa Chama Cha Demokrasia na
Maendeleo(Chadema), Wilfred Lwakatare kwa dhamana ya Sh10Milioni.