Skauti
 Mkuu wa Chama cha Skauti Tanzania mteule Mhe. Mwantumu Mahiza akisubiri
 kuapishwa Ikulu jijini Dar es salaam Jumatatu Juni 24, 2013
 Rais
 Jakaya Mrisho Kikwete akijiandaa kuvishwa skafu na skauti kabla ya 
kumuapisha Skauti Mkuu wa Chama cha Skauti Tanzania Mhe. Mwantumu Mahiza
 akisubiri kuapishwa Ikulu jijini Dar es salaam Jumatatu Juni 24, 2013
 
 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akivishwa skafu na skauti kabla ya 
kumuapisha Skauti Mkuu wa Chama cha Skauti Tanzania Mhe. Mwantumu Mahiza
 akisubiri kuapishwa Ikulu jijini Dar es salaam Jumatatu Juni 24, 2013
 
 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimuapisha  Skauti Mkuu wa Chama cha Skauti
 Tanzania Mhe. Mwantumu Mahiza akisubiri kuapishwa Ikulu jijini Dar es 
salaam Jumatatu Juni 24, 2013
 Rais
 Jakaya Mrisho Kikwete akiweka sahihi baada ya kumuapisha Skauti Mkuu wa
 Chama cha Skauti Tanzania Mhe. Mwantumu Mahiza baada ya kumuapisha 
Ikulu jijini Dar es salaam Jumatatu Juni 24, 2013
 Rais
 Jakaya Mrisho Kikwete akimkabidhi vitendea kazi Skauti Mkuu wa Chama 
cha Skauti Tanzania Mhe. Mwantumu Mahiza baada ya kumuapisha  Ikulu 
jijini Dar es salaam Jumatatu Juni 24, 2013
 
 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimpongeza Skauti Mkuu wa Chama cha Skauti 
Tanzania Mhe. Mwantumu Mahiza baada ya kumuapisha  Ikulu jijini Dar es 
salaam Jumatatu Juni 24, 2013
 
  Rais Jakaya Mrisho Kikwete akipiga picha na  Skauti Mkuu wa Chama cha 
Skauti Tanzania Mhe. Mwantumu Mahiza baada ya kumuapisha  Ikulu jijini 
Dar es salaam Jumatatu Juni 24, 2013
 
  Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na Waziri Mkuu Mstaafu Dkt Salim 
Ahmed Salim, Jaji Kiongozi Fakih Jundu na Skauti Mkuu wa Chama cha 
Skauti Tanzania Mhe. Mwantumu Mahiza baada ya kumuapisha  Ikulu jijini 
Dar es salaam Jumatatu Juni 24, 2013
 Rais
 Jakaya Mrisho Kikwete akipiga picha na  Skauti Mkuu wa Chama cha Skauti
 Tanzania Mhe. Mwantumu Mahiza pamoja na viongozi wa maskatu na skauti 
 baada ya kumuapisha  Ikulu jijini Dar es salaam Jumatatu Juni 24, 2013
 Rais
 Jakaya Mrisho Kikwete akipiga picha na  Skauti Mkuu wa Chama cha Skauti
 Tanzania Mhe. Mwantumu Mahiza na familia yake baada ya kumuapisha 
 Ikulu jijini Dar es salaam Jumatatu Juni 24, 2013
 Rais
 Jakaya Mrisho Kikwete akipiga picha na  Skauti Mkuu wa Chama cha Skauti
 Tanzania Mhe. Mwantumu Mahiza pamoja na waheshimiwa wabunge ambao ni 
maskauti  baada ya kumuapisha  Ikulu jijini Dar es salaam Jumatatu Juni 24, 2013
 Rais
 Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na skauti Ismail Aden Rageh na 
wabunge maskauti  Ikulu jijini Dar es salaam Jumatatu Juni 24, 2013
 Rais
 Jakaya Mrisho Kikwete akipiga picha na  Skauti Mkuu wa Chama cha Skauti
 Tanzania Mhe. Mwantumu Mahiza pamoja na wanachama wa UWT wilaya ya 
Ilala  baada ya kumuapisha  Ikulu jijini Dar es salaam Jumatatu Juni 24, 2013
 Rais
 Jakaya Mrisho Kikwete akipiga picha na  Skauti Mkuu wa Chama cha Skauti
 Tanzania Mhe. Mwantumu Mahiza na viongozi wa skauti nchini baada ya 
kumuapisha  Ikulu jijini Dar es salaam Jumatatu Juni 24, 2013
Rais
 Jakaya Mrisho Kikwete akiongea na skauti Livingstone Lusinde ambaye pia
 ni Mbunge wa Mtera  Ikulu jijini Dar es salaam Jumatatu Juni 24, 2013















