Pages

Wednesday, May 8, 2013

HII NDIO HABARI MPYA KUHUSU KESI YA LWAKATARE WA CHADEMA

 
Mahakama Kuu ya Tanzania imefuta mashtaka yote ya ugaidi yaliyokuwa yanamkabili Mkurugenzi wa Ulinzi na Usalama wa Chadema Wilfed Lwakatare. Taarifa kutoka Mahakama Kuu zinasema Mahakama Kuu imebakiza shitaka moja tu, la utekaji ambalo lina dhamana.