Pages

Friday, May 10, 2013

HII NDIO BARUA YA FIFA ILIYOMLETEA MATATIZO SHAFFIH DAUDA

Mtandao wa shaffihdauda umeripoti kwa kuiweka barua halisi ya FIFA kwa TFF. Kitu ambacho TFF wamemjia juu Shaffih Dauda na kumpa siku saba aeleze ameipata wapi barua hii ya kiofisi.