Pages

Wednesday, April 17, 2013

BI KIDUDE AFARIKI DUNIA

Habari zilizotufikia hivi punde amefariki dunia. Habari hizo zimepatikana kutoka moja ya Tv kubwa ya burudani Afrika Mashariki na kuenezwa vile vile na watu mbali mbali mashuhuri kama tulivyo ziweka hapo chini.Inna Lillah wa Inna Illayhi Rajiuun.