Pages

Tuesday, March 19, 2013

MCHOMA MKAA ACHINJWA MVOMERO - MOROGORO, TUNAOMBA RADHI KWA PICHA UTAKAZOZIONA



 MTU mmoja aliyetambuliwa kwa jina la Gole John 'Moto' Mkazi wa kitongoji cha Lumanile eneo la Wami Dakawa Wilaya ya Mvomero Mkoani Morogoro amechinjwa kama mbuzi na watu wasiojulikana.