Pages

Wednesday, February 6, 2013

MCHORAJI WA KIJIJI CHA NGURUKA WILAYANI UVINZA MKOANI KIGOMA

Mchoraji wa picha mbali mbali,Sudi Amani mkazi wa Kijiji cha Nguruka,Wilayani Uvinza mkoani Kigoma akichora ubao wa kutambulisha Shule ya Sekondari Nguruka,iliopo mkoani humo kama alivyokutwa na kamera yetu.