Mwenyekiti
wa Chama cha Mapinduzi (CCM},Rais Jakaya Kikwete na Mkewe Mama Salma
Kikwete leo wameongoza Matembezi ya Mshikamano yaliyoanzia kwenye eneo
la Mnarani na kuishia kwenye ofisi za CCM mkoani Kigoma,asubuhi ya leo.
Matembezi hayo yamehudhuliwa na viongozi mbali mbali wa Chama cha
Mapinduzi.
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi,Rais Jakaya Kikwete {wa pili
kushoto}na mkewe Mama Salma Kikwete wakiongoza matembezi ya mshikamano
ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya Miaka 36 ya kuzaliwa kwa Chama cha
Mapinduzi {CCM} yanayofanyika leo kwenye uwanja wa Lake
Tanganyika,Mkoani Kigoma.Matembezi hayo hayo yamehudhuliwa na viongozi
mbali mbali wa Chama cha Mapinduzi na Serikali kwa ujumla.