Pages

Saturday, January 5, 2013

VILIO VYATAWALA UJIJI: BOTI LAZAMA NA KUUWA

Mh Zitto Kabwe ametuabarisha kupitia ukurasa wake wa facebook Kuwa boti limezama ziwa Tanganyika eneo la herembe kusini mwa Ziwa Tanganyika. Mpaka sasa watu 14 wamefariki na miili imeanza kutambuliwa