kitongoni
Pages
(Move to ...)
Home
CONTACT US
▼
Saturday, January 5, 2013
VILIO VYATAWALA UJIJI: BOTI LAZAMA NA KUUWA
Mh Zitto Kabwe ametuabarisha kupitia ukurasa wake wa facebook Kuwa boti limezama ziwa Tanganyika eneo la herembe kusini mwa Ziwa Tanganyika. Mpaka sasa watu 14 wamefariki na miili imeanza kutambuliwa
‹
›
Home
View web version