Pages

Thursday, January 3, 2013

HII NDIO KAULI MPYA YA ZITTO KUHUSU KUGOMBEA URAIS 2015

Baada ya kuandamwa na maswali mengi kuhusu kugombea kwake urais mwaka 2015 hii ndio kauli alio itoa Mh Zitto Zubery Kabwe kupitia ukurasa wake wa mtandao wa kijamii Facebook