Pages

Thursday, November 15, 2012

WALE WATOTO SITA WALIOZALIWA PAMOJA WANAENDELEA VIZURI

Kama uliwaona hapo kwenye picha ya kwanza ukadhani ni picha iliyofanyiwa utundu wa kiteknolojia utakuwa umekosea hebu waangalie sasa hivi wakiwa na wazazi wao na afya iliyo njema