Watu mbalimbali wakiaangalia Katibu wa mufti Zanzibar Fadhili Soraga akipelekwa Hospitali baada ya kumwagiwa Tindikali na watu wasiojulika. Katibu alikuwa akifanya mazoezi kwenye viwanja vya mwanakwerekwe
Hapa akipelekwa kwenye chumba cha huduma ya kwanza hospitali ya mwanakwerekwe
Hapa akipandishwa kwenye gari ili awahishwe Muhimbili Hospital dar es Salaam