Pages

Saturday, November 10, 2012

HATIMAYE LORD EYEZ AZUNGUMZA NA WAANDISHI WA HABARI

Embedded image permalink

Embedded image permalink 
Tukio zima limefanyika double view hotel, sinza. Lord amewataka watu wasimhukumu na tuwe na subira hadi mahakama itakapoamua 
Pia kasema anaandaa mchakato wa kuwachukulia hatua wote waliopotosha habari kwakuwa alishinikizwa kuonekana ameiba