Pages

Thursday, November 8, 2012

AZAM YASIMAMISHA WACHEZAJI BAADA YA KIPIGO CHA SIMBA

Azam imeonekana kuingia katika mgogoro na wachezaji wake mahiri kwa madai kuwa walipewa pesa ili kuihujumu timu yao ili ifungwe na simba. Timu hiyo ilifungwa 3 kwa 1 na simba. Wachezaji walio simamishwa ili kupisha uchunguzi ni 1. Erasto Nyoni 2. Said Moradi 3. Deograatius Munishi a.k.a Dida