Pages

Wednesday, September 26, 2012

OKWI KUIKOSA MECHI YA YANGA

Taarifa nilizozipata usiku huu kamati ya ligi iliyokutana leo imemfungia mshambuliaji wa Simba,Emmanuel Okwi michezo mitatu pamoja faini ya tsh 500,000 kutokana na kadi nyekundu aliyopewa kwenye mchezo dhidi ya JKT RUVU kwa kosa la kumpiga kiwiko Kessy Mapande.
Kutokana na adhabu hiyo Emmanuel Okwi ataukosa mchezo dhidi ya Yanga. 

 HIVI NDIVYO ALIVYOPATA KADI NYEKUNDU