Pages

Wednesday, September 5, 2012

MKUU WA MKOA WA TANGA AMKAMATA MWENYEKITI WA KIJIJI KWA KUSHINDWA KUSIMAMIA RASILIMALI ZA TAIFA

Mkuu wa Mkoa wa Tanga Chiku Gallawa akiwa na kamati ya ulinzi na usalama katika mpaka wa Tanzania na Kenya


Mkuu wa Mkoa wa Tanga akiangalia magunia ya mkaa ambayo yapo tayari kusafirishwa kupelekwa nchi ya Kenya katika kijiji cha Mwakijembe
Askari akimsindikiza mwenyekiti wa kijiji Ngd Fransis Mtambo kwenda kumuaga mkewe