Pages

Friday, September 7, 2012

JESHI LA POLISI MSILIFUMBIE MACHO HILI

 Pamoja na kampeni ya jeshi la Polisi la Tanzania ya utii wa sheria bila shurti kumekuwa na uvunjwaji wa makusudi wa sheria kama basi hili litokalo Korogwe mjini kwenda Korogwe vijijini (magamba kwalukonge) likiwa limepakia abiria mpaka kwenye sehemu ya mizigo. Jeshi la polisi msilifumbie macho hili.