Kumetokea vurugu leo wakati wa jioni katika mji wa Iringa mjini kati  ya Polisi na wafuasi wa  Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA)  Vurugu hizi zilitokea mitaa ya Miyomboni 
  | 
| Wananchi wakishuhudia kwa mbali vurugu kati ya wanaodaiwa wafuasi wa CHADEMA na Polisi eneo la Iringa Miyomboni |