Pages

Tuesday, August 28, 2012

KILICHOJIRI FIESTA TANGA

Wakati wanamuziki mbalimbali wakiwa kwenye tour kubwa ya viesta. Hapa tunakuletea video ya binti kutoka Kigoma maarufu kwa jina la Rachel akiwa anashambulia jukwaa.Baadhi ya wasanii walioshambulia jukwaa la fiesta jana ni Juma Nature, Roma Mkatoliki, FA, Prezzo, Jambo Squad, Linah, Bob Juniour, Joh Makini na wengine.
Hapa ni video ya rachel akiwa jukwaani.