Pages

Monday, August 27, 2012

JEZI ZA YANGA ZAGOMBEWA RWANDA

Picha mbalimbali zikionesha wananchi wa Rwanda wakigombea jezi za Young Africans sports Club (Yanga). Yanga ndio mabigwa wa kombe la Africa mashariki na kati linalosimamiwa na CECAFA maarufu kwa jina la Kagame.