Pages

Wednesday, August 29, 2012

AKUFFOR NA NGASSA WAING`ARISHA SIMBA ARUSHA

Daniel Akuffor akikabidhiwa jezi ya simba wakati wa usajili
Simba wameibuka kidedea baada ya kutoka kifua mbele kwa mabao mawili kwa moja. Mabao ya Simba yalifugwa na mshambuliaji wa kimataifa kutoka Ghana Daniel Akuffor na mshambuliaji aliehamia hapo ktoka Azam FC Mrisho Khalfan Ngassa. Goli la Ngassa lilifungwa kwa tictak.