Pages

Monday, September 15, 2014

PICHA: TRAFIKI AGONGWA NA GARI MBAGALA RANGI TATU


Traffic Agongwa na gari aina DCM leo akiwa kazini  mbagala rangi 3
Baada ya ajali hiyo aliwahishwa Temeke Hospital na baadae kuhamishiwa Muhimbili.
Baada ya kufuatilia kwa ndani zaidi aliepata ajali ni WP 2806 Cpl Riziki, chanzo cha habari kinasema hali yake si mbaya sana.

 Tunaomba radhi kwa picha hapo juu.

MKOSAMALI AFARIKI DUNIA BAADA YA AJALI YA GARI KUELEKEA KIGOMA


Kwa habari ambazo zimenifikia ni kwamba waziri wa Fedha wa SOSJUT Mkosamali Essau amefariki dunia leo katika hospitali ya Taifa Muhimbili alikokuwa amelazwa baada ya kupata ajali ya gari wakiwa njiani kuelekea Kigoma. 

Katika ajali hiyo walikuwemo pia Mbunge Moses Machali, Felix Mkosamali kaka wa Marehemu ila aliyeumia sana ni ndg Essau Mkosamali aliyekuwa Mwanafunzi wa mwaka wa tatu katika chuo kikuu cha Mt John Dodoma.