kitongoni
Pages
(Move to ...)
Home
CONTACT US
▼
Sunday, June 8, 2014
MZEE SMALL AFARIKI DUNIA
Mzee Small amefariki dunia usiku huu katika hospital ya taifa ya muhimbili aliko pelekwa baada ya kuzidiwa na ugonjwa wa shinikizo la damu mtoto wa marehemu anaeitwa Muhidin amethibitisha.
Inna lilahi wa inna ilayhi rajiuun.
‹
›
Home
View web version