


 Picha zinazoonyesha Michoro ya Ukumbi,Ofisi za Makao makuu na Hotel ya nyota tano.

 Rais wa 
Zanzibar Dk Ali Shein akiwasili eneo la Makulu kwenye sherehe za uwekaji
 wa jiwe la msingi la ujenzi wa Ofisi za makao makuu, Ukumbi wa Mikutano
 na Hotel ya Hadhi ya nyota tano muda mfupi ulipita.

 Rais 
Jakaya Mrisho Kikwete akihutubia kwenye sherehe za uwekaji wa jiwe la 
msingi la ujenzi wa Ofisi za Makao Makuu ya Chama,Ukumbi wa Mikutano na 
Hotel za Hadhi ya Nyota Tano katika eneo la Makulu Dodoma muda mfupi 
uliopita